Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), Mhandisi Rhoben Nkori akizungumza na makandarasi waliokuwa kwenye mafunzo ya siku mbili ya kazi za ubia (JVs) yaliyoandaliwa na bodi hiyo jijini Dodoma.
Msajili wa bodi hiyo, Mhandisi Rhoben Nkori, alisema “Nawashauri wakandarasi wadogo na wakati wajitahidi kushirikiana na makandarasi wakubwa ili kwanza wapate uzoefu wa kufanyakazi kubwa badala ya kukimbilia kuomba kupanda daraja, wengine wanaghushi hadi nyaraka waonekane wamekua na vigezo vya kusajiliwa daraja la kwanza au la pili,” alisema
Alisema iwapo makandarasi watafanya miradi kwa ushirikiano wa kweli tofauti na ile ambayo wakubwa wanawasindikiza wadogo watapata uzoefu wa kazi hizo.
Photo by:Admin, 2023-02-23 06:33:41 |
Makandarasi wakifuatilia mafunzo kuhusu kufanyakazi za ubia Joint Ventures (JVs) yaliyotolewa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi CRB mkoani Dodoma
Photo by:Admin, 2023-02-23 06:32:32 |
CONTRACTORS Registration Board (CRB) has urged local contractors to strengthen their financial management systems if they want to remain active in the industry in December 2022, Dar es salaam.
The CRB Chairperson Eng. Consolata Ngimbwa said when closing a three-day training on financial management to local contractors that there is no way a contractor can make it in the construction industry if he is not competent enough in finance management issues and taxes.
“As we all know the importance of resources supervision in our daily execution, financial management is one of the areas that contradict many contractors but we must be aware that without proper finance management it becomes difficult to complete a construction project and sometimes it becomes easy to incur a loss,” she said.
SOURCE " DAILY NEWSPAPER"
Photo by:Admin, 2023-01-18 07:38:18 |